Kamati ya UM ya uchunguzi dhidi ya vitendo vya Israel kuzuru Amman na Cairo
Kamati maalumu ya Umoja wa mataifa ya kuchunguza vitendo vya Israeli vinavyoathiri haki za binadamu za watu wa Palestina na Waarabu wengine kwenye maeneo ya Palestina yanayokaliwa, watafanya ziara ya kila mwaka mjini Amman Jordan na Cairo Misri.