Usafi ni msingi katika kudhibiti mlipuko wa kipindupindu Dadaab: mtalaam wa UNHCR
Nchini Kenya, zaidi ya watu 1,000 wameambukizwa ugonjwa wa kipindupindu kwenye kambi ya wakimbizi ya Dadaab, watu 10 wakiwa wamefariki dunia.
Nchini Kenya, zaidi ya watu 1,000 wameambukizwa ugonjwa wa kipindupindu kwenye kambi ya wakimbizi ya Dadaab, watu 10 wakiwa wamefariki dunia.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon amezungumza kwa njia ya simu na waziri wa mambo ya nje wa Saudia Abel bin Ahmed Al-Jubeir, na waziri wa mambo ya nje wa Iran Mohammad Javad Zarif.
Aliyekuwa Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mkuu wa Ujumbe wa Umoja huo nchini Somalia Nicholas Kay amehitimisha hivi karibuni muda wake kwenye nafasi yake.
Nchini Ethiopia, mahitaji ya kibinadamu yameongezeka mara tatu tangu mwanzo wa mwaka 2015 kutokana na ukame mkali unaokumba baadhi ya maeneo ya nchi.
Mwakilishi maalumu wa Umoja wa mataifa kuhusu haki za binadamu kwa eneo linalokaliwa la Palestina Makarim Wibisono, leo amewasilisha barua yake ya kujiuzulu rasmi kuanzia tareje 31 Machi 2016, kwa Rais wa baraza la haki za binadamu.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon, ameeleza kushtushwa sana na mauaji ya watu 47 nchini Saudi Arabia, akiwemo Sheikh Nimr Baqir Al-Nimr, kama ilivyotangazwa na Waziri wa Mambo ya Ndani Jumamosi hii.
Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya Martin Kobler, ametuma salamu zake za mwaka mpya kwa raia wa Libya akiwatakia amani, matumaini na ukuaji wa uchumi.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amekaribisha kuanzishwa upya kwa mazungumzo ya kisiasa baina ya pande kinzani za Burundi nchini Uganda.