Pichani ni wanawake wakiwa wamebeba vifurushi vya chakula kichwani huko Akuem, Kaskazini mwa El Ghazal nchini Sudan Kusini mwaka 2003 msaada kutoka shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa chakula duniani WFP.
Mzigo kichwani na mtoto mgongoni ni maisha ya kawaida ya wanawake wengi hususan barani Afrika. Mwanamama huyu akiwa kwenye kantini ya chakula huko Cape Verde, mwaka 1989,
WFP kusaidia kantini za mashuleni nchini Cape Verde.