Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Zlatan Milišić

Pichani kati ni Paul Siniga, balozi kijana wa SDGs na mchechemuzi wa kampeni ya He4She akiwa kwenye picha na wanafunzi wa kike.
UN Tanzania

UN Tanzania yampongeza msichana aliyeandika mashairi ya SDGs 

Kuweka ujumbe wa Malengo ya Maendeleo Endelevu SDGs katika mashairi ni moja ya njia nzuri za kuyaleta karibu malengo hayo karibu na watu, kuyaelewa na kuyafanyia kazi. Hayo ni maneno ya Mwakilishi Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Tanzania, Zlatan Millisic alipokuwa akipokea kitabu cha mashairi 17 ya SDGs kilichoandikwa na kijana mtanzania, Aisha Kingu. 

Sauti
2'7"

12 Agosti 2020

Jaridani la Umoja wa Mataifa hii leo na Assumpta Massoi 
-   Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya vijana, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres ametoa wito kwa viongozi na watu wazima kote duniani kufanya kila linalowezekana kuwawezesha vijana wa ulimwengu kufurahia maisha ya usalama, utu pia fursa na kuchangia katika hatua za pamoja za kimataifa.
Sauti
11'24"