Mwezi moja tangu kimbunga Idai kukumba nchi za Msumbiji, Malawi na Zimbabwe, Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF, limetoa ombi la dola milioni 1.6 kusaidia watoto ambao wanaibuka kutoka athari zake mwezi mmoja tangu kimbunga hicho.