Skip to main content

Chuja:

Wuhan

Vifaa tiba vilivyotolewa na shirika la mpango wa chakula duniani, WFP vikiwasili, Beijing.
Picha kwa hisani ya Yingshi Zhang

China yadhihirisha COVID-19 inaweza kudhibitiwa

Uzoefu wa China katika kudhibiti kusambaa kwa virusi vya Corona unaweza kutumika kama somo kwa nchi zingine ambazo sasa zinakabiliwa na mlipuko huo wa COVID-19 amesema afisa wa shirika la afya ulimwenguni WHO nchini China.

National Institute of Allergy and Infectious Diseases, NIH, US

Kenya kuhakikisha kuna miakakati endapo Virusi vya Corona vitazuka:WHO

Shirika la afya ulimwenguni WHO jana Alhamisi limetangaza kuwa virusi vipya vya corona ni dharura ya afya ya kimataifa inayotia wasiwasi likizitaka nchi zote kuchukua tahadhari na kujiandaa endapo virusi hivyo vitazuka katika nchi zao. Kwa sasa virusi hivyo kitovu chake kimekuwa mji wa Wuhan nchini China ambako Kwa mujibu wa WHO jumla ya visa 9692 vimethibitishwa katika majimbo 31, na kati ya hivyo watu 1239 wako katika hali mbaya, 213 wamefariki dunia na wagonjwa 103 wametibiwa, kupona na kuruhusiwa kwenda nyumbani. Na nje ya China kuna visa 68 vilivyothibitishwa katika nchi 18.

Sauti
5'41"