Zaidi ya watu 250 wamefariki dunia kwa mwezi huu wa Januari pekee wakivuka bahari ya Mediteranea kuelekea Ulaya.
Msemaji wa IOM Joel Millman amesema miongoni mwao ni watoto wanne wa familia moja kutoka Côte d'Ivoire waliokuwa wanakwenda Ufaransa kuungana na baba yao.