Naibu mwakilishi wa Umoja wa Mataifa nchini Liberia ameihakikishia nchi hiyo kuendelea kupata msaada wa Umoja wa Mataifa ikiwa ni pamoja na kujengwa gereza jipya lililofadhiliwa na Umoja wa Mataifa na pia kituo ambacho wanajeshi wa kulinda amani watakitumia kuitoa mafunzo kwa vijana.