Katibu mkuu wa UM Ban Ki-moon na mkurugenzi mkuu wa Idara ya Idadi ya Watu UNFPA, Bi Thoraya Ahmed Obaid waliadhimisha siku ya Idadi ya Watu, kwa kutoa mwito wa kushirikishwa zaidi wanaume katika afya ya uzazi ili kupunguza idadi ya wanawake wanaofariki kila siku wanapojifungua na kuhakikisha malezi ya usalama. Abdushkaur Aboud ana maelezo zaidi juu ya siku hii. ~~