Mahakama Kuu Tanzania katika kuimarisha haki sasa ‘kuziba nyufa,badala ya kujenga ukuta’
Nchini Tanzania maadhimisho ya Wiki ya Sheria yakiwa yanaendelea, mashariki mwa taifa hilo Mahakama Kuu imesema imeweka kipaumbele cha kutumia elimu kuimarisha haki badala ya kusubiri hadi tatizo litokee na kufikishwa mahakamani.