Skip to main content

Chuja:

WHO Afrika

UN

Botswana: Mkutano wa 73 wa Kamati ya Kanda ya Afrika ya WHO waanza Gaborone

Mkutano wa Sabini na tatu wa Kamati ya Kanda ya Afrika ya Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) umeanza hii leo katika mji mkuu wa Botswana, Gaborone huku tukio hilo likishuhudia pia Maabara ya Kitaifa ya Marejeleo ya Virusi vya Ukimwi (VVU) ya Botswana ikipewa hadhi ya kuwa Kituo Kishiriki cha Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni (WHO) cha kufuatilia Ubora. 

Sauti
1'58"
Mama na mwanae mchanga wakipata huduma baada ya kujifungua kwenye wodi ya wazazi iliyoko kliniki ya Shakawe nchini Botswana.
UNICEF/Christine Nesbitt

Mkutano wa 73 wa Kamati ya Kanda ya Afrika ya WHO waanza Gaborone, Botswana

Mkutano wa Sabini na tatu wa Kamati ya Kanda ya Afrika ya Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) umeanza hii leo katika mji mkuu wa Botswana, Gaborone huku tukio hilo likishuhudia pia Maabara ya Kitaifa ya Marejeleo ya Virusi vya Ukimwi (VVU) ya Botswana ikipewa hadhi ya kuwa Kituo Kishiriki cha Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni (WHO) cha kufuatilia Ubora. 

Sauti
1'58"

21 AGOSTI 2023

Hii leo jaridani tunaangazia Siku ya waathirika wa ugaidi duniani na mabomu ya kutegwa ardhini. Makala tunakupeleka nchini Siarra Leone na mashinani nchini Msumbiji, kulikoni? 

Sauti
9'56"
Picha iliyokuzwa sana inaonesha chembe ya virusi aina ya mulberry kirusi cha Monkeypox ambayo ilipatikana kwenye umajimaji wa malengelenge ya binadamu.
© CDC

Nchi tatu zaidi Afrika zagundua kuwa na wagonjwa wa Monkeypox

Wakati nchi tatu ambazo awali hazikuwa na historia ya kuwa na ugonjwa wa ndui ya nyani au Monkeypox zikiripoti kuwa na wagonjwa katika mataifa yao, Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya ulimwenguni WHO kanda ya Afrika imetangaza kuanza kufanya kazi na mataifa ya Afrika katika kuimarisha uwezo wa nchi kufanya uchunguzi wa kimaabara ili kubaini wagonjwa hao kwa haraka na kuzuia kuenea kimya kimya kwa ugonjwa huo.