Shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu masuala ya kibinadamu na misaada ya dharura OCHA, leo limezindiua ripoti ya ya takwimu na mwenendo wa hali ya binadamu duniani kwa mwaka 2018 (WHDT) ikijikita katika takwimu za kipindi cha miaka mitano.
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu masuala ya kibinadamu na misaada ya dharura OCHA, leo limezindiua ripoti ya ya takwimu na mwenendo wa hali ya binadamu duniani kwa mwaka 2018 (WHDT) ikijikita katika takwimu za kipindi cha miaka mitano.