Jamani nataka mananasi na korosho kutoka Tanzania nitazipataje? Ahoji mfanyabiashara kutoka Kenya
Jukwaa la kusongesha biashara ya nje, WEDF18 ingawa limefunga pazia huko Lusaka, Zambia, wafanyabiashara wanaendelea kuhaha kusaka taarifa za kupata bidhaa bora ili kuimarisha masoko yao ya nje.