Ripoti mpya kutoka katika kituo cha kimafaida cha utafiti wa ugonjwa wa saratani duniani,IARC inasema ugonjwa huo imezigharimu nchi zenye uchumi wa kati ,kiasi cha dola za kimarekani bilioni 46 tangu mwaka 2012.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani vikali mauaji ya waandamanaji huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC akisema kitendo hicho hakikubaliki.
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC watu sita wameuawa jumapili kwenye mji mkuu Kinshasa wakati wa maandamano yaliyoandaliwa na kanisa katoliki nchini humo. John Kibego na ripoti kamili.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani vikali mauaji ya waandamanaji huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC akisema kitendo hicho hakikubaliki.
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC watu sita wameuawa jumapili kwenye mji mkuu Kinshasa wakati wa maandamano yaliyoandaliwa na kanisa katoliki nchini humo. John Kibego na ripoti kamili.
Kufuatia uamuzi wa raia wa Sudan Kusinikuanza kurejea nyumbani kutoka ukimbizini huko Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, Umoja wa Mataifa umechukua hatua kuimarisha ulinzi kwenye maeneo yao.
Nchini Kenya, harakati bado zinaendelea kudhibiti mlipuko wa homa ya Chikungunya huko Mombasa ambako hadi sasa watu 27 kati ya 154 wamethibitishwa kuambukizwa ugonjwa huo.