Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres yupo ziarani nchi Colombia, Amerika kusini katika jitihada za kuendeleza mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Colombia na makundi y
Kitendo cha kushindwa kuwafikia watoto wa kabila la Rohingya ambao bado wamesalia nchini Myanmar kinatutia shaka kubwa kwa kuwa wanaishi kwenye mazingira ya kusitikisha.
Nchini Zambia, shirika la uhamiaji la Umoja wa Mataifa, IOM kwa kushirikiana na serikali wanajenga kituo cha kuhifadhi wahamiaji walio hatarini zaidi kwenye mpaka wa nchi hiyo na Namibia.