Chuja:

waganga

UN News/ John Kibego

Waganga wa asili wa mifupa wapongeza huduma ya picha za X-ray Uganda

Licha ya juhudi za kimataifa za kuimarisha huduma za afya kwa kuchagiza wagonjwa kusimamiwa na watalaam wa afya kwenye hospitali zinazotambulika, waganga wa asili wamesalia na ushawishi mkubwa katika utoaji wa tiba kwa jamii. Hii ni kutokana na imani ya baadhi ya wanajamii na pia uhaba wa fedha zinazotakiwa kwenye hospitali za kipekee na  mapungufu katika hospitali za serikali.

Sauti
4'7"