Afya ya hedhi ni suala la haki za binadamu sio tu la kiafya
Leo ni siku ya usafi wa hedhi, kauli mbiu ya siku hii ni "Kufanya hedhi kuwa jambo la kawaida la maisha ifikapo mwaka 2030."
Siku hii huadhimishwa kila tarehe 28 ya mwezi wa Mei kila mwaka kwa sababu mizunguko ya hedhi ni wastani wa siku 28 na watu hupata hedhi wastani wa siku tano kila mwezi.