UN yawakumbuka wafanyakazi wake 77 waliopoteza maisha kazini mwaka jana
Familia ya Umoja wa Mataifa imekutana leo Jumatano kutoa heshima kwa wafanyikazi wake 77 waliokufa wakiwa kazini mwaka jana 2022.
Familia ya Umoja wa Mataifa imekutana leo Jumatano kutoa heshima kwa wafanyikazi wake 77 waliokufa wakiwa kazini mwaka jana 2022.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema ameshtushwa sana na kitendo cha serikali ya Ethiopia kuwafurusha maafisa wa Umoja wa Mataifa nchini humo.
Umoja wa Mataifa leo Alhamisi umewaenzi wafanyikazi 336 waliopoteza maisha yao wakiwa kazini mwaka 2020, ikiwa ni idadi kubwa zaidi kuwahi kutokea kwa mwaka mmoja.
Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa waliopoteza Maisha wakiwa kazini leo wameenziwa kwenye hafla maalum kwenye Umoja wa Mataifa kwa ushujaa wao na kwa huduma yao chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuokoa vizazi vijavyo.
Wakati maombolezo ya vifo vya wafanyakazi 21 wa Umoja wa Mataifa yakiendelea katika ofisi mbalimbali duniani kote, shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa mazingira UNEP, mjini Nairobi Kenya ni miongoni mwa mashirika ya Umoja wa Mataifa yaliyopata pigo la ajali hiyo.
Hebu tuimarishe azma yetu ya pamoja na njia za kuwalinda wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa wakati wakifanya kazi zao bila kuchoka kwa ajili ya amani,maendeleo endelevu na vilevile haki za watu wote, amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres hii leo.
Hebu tuimarishe azma yetu ya pamoja na njia za kuwalinda wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa wakati wakifanya kazi zao bila kuchoka kwa ajili ya amani,maendeleo endelevu na vilevile haki za watu wote, amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres hii leo.