Nzige na Parara ndio chakula cha siku zijazo- Chef Ali
Umoja wa Mataifa kupitia shirika lake la chakula na kilimo FAO, limeanzisha kampeni ya kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha kuna uendelevu katika uzalishaji na ulaji wa chakula.
Umoja wa Mataifa kupitia shirika lake la chakula na kilimo FAO, limeanzisha kampeni ya kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha kuna uendelevu katika uzalishaji na ulaji wa chakula.