Skip to main content

Chuja:

vita vya wenyewe kwa wenyewe

Liberia ni mfano kwa nchi zingine zenye migogoro:Opande

Nchi nyingine za Kiafrika zilizo katika vita vya wenyewe kwa wenyewe ziige mfano wa Liberia na kumaliza mizozo ili kunusuru raia wake. Ushauri huo umetolewa na Jenerali mstaafu Daniel Opande aliyekuwa kamanda wa kwanza wa kikosi cha kulinda amani nchini Liberia. Alipozungumza na Zipporah Musau wa idara ya mawasiliano ya umma ya umoja wa Mataifa jenerali msattafu Opande asisitiza hata hivyo haikuwa kazi rahisi kufikia muafaka, kuketi pamoja kujadiliana na kudumisha amani ambayo sasa Liberia inajivunia.

Sauti
3'5"