Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

utafiti

Mtoto mwenye ulemavu wa ngozi tena mwenye ulemavu wa kutoona akisoma kwa kupitia maandishi maalum ua nukta nundu kwa watu wasioona au wenye uoni hafifu
© UNICEF/Pirozzi

Utafiti na Ushahidi juu ya Watoto wenye Ulemavu: UNICEF

Ingawa Malengo ya Maendeleo Endelevu yanahimiza kuwa hakuna mtoto anayepaswa kuachwa nyuma. Lakini utafiti uliofanywa na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumiwa watototo UNICEF unaonesha kuwa kati ya watoto milioni 240 wenye ulemavu duniani, nusu hawajawahi kuhudhuria shule, takriban theluthi moja hawapati chakula bora na chakutosha na pia watoto wenye ulemavu wanawakilishwa kwa njia isiyo sawa na wengi wao wanaachwa nyuma. 

UNICEF/Shehzad Noorani

WHO:Huduma za afya zimevurugwa katika asilimia 90 ya nchi wakati wa COVID-19

Shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO, leo limechapisha utafiti wake wa kwanza wa athari za janga la corona au COVID-19 kwa mifumo ya afya duniani. Hali ikoje? Loise Wairimu na taarifa zaidi.

Katika utafiti huo uliofanyika na takwimu kukusanywa katika nchi 105 duniani tangu mwezi Machi hadi Juni mwaka huu wa 2020, unaonyesha kuwa takriban asilimia 90 ya nchi hizo huduma zake za afya zimekabiliwa na changamoto huku nchi za kipato cha chini na cha wastani zikiarifu matatizo makubwa zaidi. 

Sauti
1'45"