Fahamu kuhusu usonji, dalili, visababishi na je una tiba?
leo kwenye mada kwa kina tutamsikiliza mtaalamu wa afya upande wa tatizo la usonji akitueleza kinagaubaga kuhusu tatizo hilo.Godfrey Kimathi ni mtaalamu mbobevu wa maswala ya usonji, pia ni rais wa wataalam wa usonji nchini Tanzania anaanza kwa kueleza usonji ni nini na dalili zake ni zipi?