Jiungeni na EAC tupate nguvu zaidi ya kuweza kuwasaidia
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt. Peter Mathuki amezisihi nchi nyingi zaidi zilizopo katika ukanda huo kujiunga na jumuiya yao ili waweze kuwa na nguvu zaidi na pale zitakapokumbwa na changamoto waweze kuwasaidia kwa karibu zaidi kama jumuiya.