Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Ushirika wa Kusini Kusini

29 Novemba 2018

Leo katika Jarida la Habari la Umoja wa Mataifa Arnold Kayanda anakuletea

-Hatari ya VVU kwa vijana barubaru ifikapo 2030, barubaru 80 watapoteza maisha kila siku kama mwenendo hautobadilika limeonya shirika la UNICEF

-Umuhimu wa ushirika wa Kusini-Kusini kwa bara la Afrika ni mkubwa

-UNMISS kuongeza vikosi jimbo la Nile Sudan Kusini kwa ajili ya ulinzi wa raia

-Makala inamulika Ibara ya 21 ya tamko la haki za binadamu kuhusu "haki ya wananchi kushiriki katika serikali , huduma za jamii na uongozi kuzingatia matakwa ya wananchi".

Sauti
14'4"