Hatuwezi kuruhusu tatizo la mihadarati kuendelea kuathiri mamilioni ya watu:Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema siku ya kimataifa ya ya kupambana na matumizi mabaya ya dawa za kulevya na usafirishaji haramu ya mwaka huu inaangazia athari za changamoto za dawa za kulevya katika majanga ya kiafya na kibinadamu.