Mabadiliko ya kisiasa ya mamlaka nchini Sudan yana athari za wazi kuhusu hali jimboni Darfur, amesema Mwakilishi maalum wa Ujumbe wa pamoja wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Afrika, jimboni humo, UNAMID.
Naibu Mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa inayoratibu misaada ya kibinadamu, OCHA Ursula Mueller yuko ziarani nchini Burkina Faso ambakoamesema mahitaji ya kibinadamu yameongezeka kwa kiwango cha juu tangu mwezi Juni mwaka jana 2018 na katika miezi ya hivi karibuni.
Baada ya ziara ya siku sita nchini Myanmar, Afisa mwandamizi wa Umoja wa Mataifa anaona kabisa ya kwamba wakimbizi wa Rohingya walioko Bangladesh bado wana hofu kubwa ya kurejea nyumbani ingawa jitihada za mazungumzo zinaendelea ili warejee Myanmar.
Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya kibinadamu na msaada wa dharura, Ursula Mueller, amesema hali bado ni tete nchini Syria kufuatia mapigano ya wenyewe kwa wenyewe yaliyodumu kwa zaidi ya miaka saba sasa.
Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya kibinadamu na msaada wa dharura, Ursula Mueller, amesema hali bado ni tete nchini Syria kufuatia mapigano ya wenyewe kwa wenyewe yaliyodumu kwa zaidi ya miaka saba sasa.