Unyonyeshe vipi mtoto wakati wa COVID-19? Pata Mwongozo wa UNICEF
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limetoa mwongozo wa unyonyeshaji mtoto salama wakati huu dunia inakabiliana na janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19 na kutoa maelekezo ya kumlisha mtoto kwa kufuata mwongozo huo.