21 SEPTEMBA 2020
Katika Jarida la Habari za Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea
-Umoja wa Mataida waadhimisha miaka 75 tangu kuanzishwa mkuu wa Umoja huo asema pamoja na mafanikio makubwa yaliyopatikana safari bado ni ndefu inayohitaji mshikamano kunusuru kizazi hiki na vijavyo
-Tanzania inasema katika miaka 75 ya Umoja wa Mataifa kumekuwa na ushirikiano mkubwa na mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa ikiwemo la maendeleo UNDP, na la utalii UNWTO utamsikia Devotha Mdachi kutoka bodi ya utalii Tanzania