Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

UNOC2025

10 JUNI 2023

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka katika ukanda wa Gaza, huko mashariki ya Kati kwenye eneo la Palestina lialokaliwa kimabavu na Israeli ambapo vinazidi kuibua changamoto mpya kila uchao.

Sauti
10'50"
© The Ocean Story/Vincent Kneefel

Mustakabali wa bahari u mikononi mwetu sisi tunaoiharibu - UN

Mkutano wa tatu wa Umoja wa Mataifa kuhusu bahari umeanza leo huko Nice nchini Ufaransa ambapo Katibu Mkuu wa Umoja huo António Guterres bila kumung’unya maneno ameelezea bayana jinsi binadamu anavyozidi kuhatarisha ustawi wa bahari lakini akionesha matumaini ya hali bora ya bahari iwapo hatua zitachukuliwa kwa maslahi ya binadamu na viumbe vya baharini. Assumpta Massoi amefuatilia na kuandaa taarifa hii.

Sauti
2'22"
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akitoa hotuba katika ufunguzi wa Mkutano wa Tatu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Bahari mjini Nice, Ufaransa.
UN Photo/Evan Schneider

Mustakabali wa bahari u mikononi mwetu sisi tunaoiharibu - Guterres

Mkutano wa tatu wa Umoja wa Mataifa kuhusu bahari umeanza leo huko Nice nchini Ufaransa ambapo Katibu Mkuu wa Umoja huo António Guterres bila kumung’unya maneno ameelezea bayana jinsi binadamu anavyozidi kuhatarisha ustawi wa bahari lakini akionesha matumaini ya hali bora ya bahari iwapo hatua zitachukuliwa kwa maslahi ya binadamu na viumbe vya baharini.

Sauti
2'22"