Uganda yachunguza madai ya rushwa kwenye makazi ya wakimbizi
Serikali ya Uganda inachunguza madai kuwa maafisa wake wanahusika na ufisadi wakati wakiwagawia wakimbizi msaada.
Serikali ya Uganda inachunguza madai kuwa maafisa wake wanahusika na ufisadi wakati wakiwagawia wakimbizi msaada.