Skip to main content

Chuja:

UNCTAD

16 AGOSTI 2023

Afrika inaweza kuwa kiungo muhimu katika minyororo ya ugavi duniani - Ripoti ya UNCTAD.

Mradi wa PD wa WFP Kenya washughulikia utapiamlo na kuinua kipato cha wakulima.

Sikufahamu jinsi ya kuzungumza na mwanangu kumuepusha na mimba za utotoni - Mzazi Haiti

Mashinani ni ushauri wa Issa Ibrahim Shauri anayefahamika kama mgonjwa wa mwisho nchini Tanzania wa  virusi vya polio aina ya 1. 

Sauti
11'24"
Delight Uganda Limited

Tuzo ya UNCTAD imenipa motisha zaidi kusaidia jamii – Dkt Julian Omalla

Mshindi wa tuzo ya wanawake wajasiriamali iliyotolewa na Kamati ya Umoja wa Mataifa ya biashara na maendeleo, UNCTAD na pia akapigwa jeki ya mkopo nafuu wa dola milioni 10 kutoka kwa serikali ya Uganda ameeleza alivyopokea tuzo hiyo na mipango ya baadaye. Akizungumza na mwandishi wetu wa Uganda John Kibego, Dkt Julian Omalla ambaye amejipatia umaarufu kutokana na shughuli za kujikwamua pamoja na maelfu ya wanawake na vijana, amesema amepata maono makubwa zaidi baada ya kutunikiwa tuzo.

Sauti
3'42"
Masoko ya hisa duniani yamekuwa yakishuka thamani kadri mlipuko wa virusi vya corona unavyozidi.
UN Photo/Mark Garten)

Ukuaji wa uchumi duniani watishiwa na COVID-19:UNCTAD

Mgogoro wa kimataifa wa kiafya uliosababishwa na janga la virusi vya corona au COVID-19 unaweza kuwa na athari kubwa za kiuchumi, na kusababisha upungufu wa dola bilioni 2, 000, pamoja na dola bilioni 200 kwa nchi zinazoendelea, kulingana na moja ya matarajio mabaya yaliyotolewa leo Jumatatu kamati ya Umoja wa Mataifa ya biashara na maendeleo UNCTAD huko Geneva Uswis.

06 Januari 2020

WFP yakaribisha msaada wa dola milioni 3.39 kuwanusuru walioathirika na ukame Zambia. Uwekezaji wa teknolojia ya kidijitali ni muhimu katika kufanikisha SDGs inasema UNCTAD.  Je umeshawahi kuonja majani ya moringa yaliyopikwa kwa nazi? Basi kutana na mpishi kutoka Sri Lanka.

Sauti
11'32"