Guterres aangazia nguvu ya 'sauti za vijana' kabla ya mkutano muhimu wa biashara na maendeleo
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres Jumapili hii akiwa ziarani nchini Barbados amesema amejitolea kuhakikisha kuwa Umoja wa Mataifa ni mahali ambapo "sauti za vijana zinasikika, na maoni yao yanaongoza.".