UN yatoa wito kwa Taliban kukomesha adhabu kali za kuumiza mwili nchini Afghanistan
Utumiaji wa adhabu kali kama ya viboko unaofanywa na mamlaka ya isiyo halali ya nchini Afghanistan unakwenda kinyume na sheria za kimataifa na lazima ukomeshwe, Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo (UNAMA), umesema leo Jumatatu.