Mkutano wa Baraza Kuu la shirika la afya ulimwenguni, WHO, ukiendelea huko Geneva, Uswisi, kamisheni ya dawa kwa nchi za Afrika Magharibi, pmoja na ile ya kimataifa kwa kushirikiana na shirika la kukabiliana na Ukimwi la Umoja wa Mataifa, UNAIDS,leo wamewasilisha mfumo bora wa sheria za dawa kwa ukanda huo wa Afrika.