Siku 16 za kupinga ukatili dhidi ya wanawake zikiwa zikiendelea kuangazia maeneo mbalimbali duniani, nchini Tanzania hii leo Umoja wa Mataifa umepeleka kampeni hiyo huko mkoani Kigoma, Magharibi mwa nchi hiyo. Taarifa zaidi na John Kibego.
(Taarifa ya John Kibego)