Ripoti ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu hatua za ulinzi dhidi ya ukatili na unyanyasaji wa kingono (SEA) imetolewa leo ikiainisha hatua zilizochukuliwa na nani waliohusika katika juhudi kukomesha hali hiyo.
Umoja wa Mataifa umetangaza hatua tano za kukabiliana na ukatili wa kingono dhidi ya wanawake ndani ya chombo hicho kufuatia suala hilo kuanza kupatiwa umakini inavyotakiwa.
Umoja wa Mataifa umetangaza hatua tano za kukabiliana na ukatili wa kingono dhidi ya wanawake ndani ya chombo hicho kufuatia suala hilo kuanza kupatiwa umakini inavyotakiwa.