Ukatili dhidi ya wanawake ni uhalifu na dharura ya kiafya ya umma: Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema ukatili dhidi ya wanawake na wasichana unaendeklea kuwa moja ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaoendelea kuiathiri dunia hivi sasa.