Sajili
Kabrasha la Sauti
Ripoti kutoka shirika la chakula na kilimo duniani FAO, imesema ongezeko la joto na ukosefu wa nvua kusini mwa bara la Afrika vitaathiri sana sekta ya kilimo mwaka huu, na kufanya usalishajji wa mazao kupungua kwa kiasi kikubwa.
Uzalishaji wa chakula pamoja na vyanzo vya mapato vingi nchini Somalia vinatarajiwa kusalia chini kuliko kawaida katika maeneo mengi nchini humo.