WFP: Msaada wa chakula wa dharura kutoka Ukraine wawasili Sudan
Msaada wa chakula cha dharura uliotolewa na Ukraine kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP kwa ajili ya operesheni zake nchini Sudan, leo umewasili katika bandari ya Port Sudan na kuapakiwa Kwenye malori tayari kwa kuwasambazia watu wenye uhitaji wa haraka.
Msaada wa chakula wa dharura kutoka Ukraine wawasili Sudan: WFP
Msaada wa chakula cha dharura uliotolewa na Ukraine kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP kwa ajili ya operesheni zake nchini Sudan, leo umewasili katika bandari ya Port Sudan na kuapakiwa Kwenye malori tayari kwa kuwasambazia watu wenye uhitaji wa haraka.
Guterres: Tunahitaji utaratibu wa kimataifa ambao unafanya kazi kwa kila mtu
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres leo katika mkutano wa usalama unaofanyika mjini Munich Ujerumani ametoa wito wa kuwepo utaratibu wa kimataifa ambao unafanya kazi kwa kila mtu.
Asante Evarist Guterres katika hotuba yake amesisitiza wito huo wa amani na utaratibu wa kisasa wa kimataifa akisema utaratibu wa leo wa kimataifa haufanyi kazi kwa kila mtu, "Kwa kweli, ningeenda mbali zaidi na kusema kwamba haufanyi kazi kwa mtu yeyote."
Tunahitaji utaratibu wa kimataifa ambao unafanya kazi kwa kila mtu: Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres leo katika mkutano wa usalama unaofanyika mjini Munich Ujerumani ametoa wito wa kuwepo utaratibu wa kimataifa ambao unafanya kazi kwa kila mtu.
Lengo letu ni kuhakikisha kila mtu Afrika anakijua na kukizungumza Kiswahili-Wadau
Maadhimisho ya pili ya siku ya lugha ya Kiswahili duniani yamewadia ni wiki ijayo tarehe 7 ya mwezi Julai ambapo wadau wote wa kiswahili duniani kuanzia kwenye shirika la Umoja wa Mataifa la elimu sayansi na utamaduni UNESCO, kwenye Mataifa wazungumzaji wa lugha hii adhimu hadi ughaibuni mambo yatakuwa bambam, lakini hapa kwenye makao makuu ya umoja wa Mataifa maandalizi yamefikia wapi? Na nini kitajiri? Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa imewaalika wadau wa Kiswahili hapa kwenye makao makuu kufahamu maandalizi yanaendeleaje.
18 FEBRUARI 2022
Katija Jarida la mada kwa kina hii leo kutoka Umoja wa Mataifa KLeah Mushi anakuletea
-Malawi imetangaza kuwepo kwa mlipuko wa ugonjwa wa polio nchini humo na hivyo kuwa ni tangazo la kwanza la uwepo wa ugonjwa huo barani Afrika katika kipindi cha zaidi ya miaka mitano.
-Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR linashirikiana na mamlaka nchini Ethiopia na wadau wake kupatia msaada wa dharura kwa maelfu ya wakimbizi kutoka Eritrea ambao walikimbia kambi ya Barahle na viunga vyake huko jimboni Afar baada ya mapigano kuibuka eneo hilo.
FAO yapokea zaidi ya dola 227,500 kutoka Ujerumani kuepusha janga la njaa pembe ya Afrika
Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO hii leo limekaribisha mchango wa zaidi ya dola 227,5180 kutoka Ujerumani kwa ajili ya kuokoa maisha ya wakulima na wafugaji walioathiriwa zaidi na ukame katika Pembe ya Afrika.
Tuna imani na WHO; zasema Ufaransa na Ujerumani huku zikiongeza michango yao
Ujerumani na Ufaransa leo zimesisitiza uungaji mkono wa kisiasa na kifedha kwa shirika la afya la Umoja wa Mataifa, WHO wakati huu ambapo janga la virusi vya Corona au COVID-19, limeendelea kutikisa ulimwengu.
Ndoto ya mkimbizi wa Syria kuwa fundi umeme yatimia huko Ujerumani
Hatimaye ndoto za mkimbizi kutoka Syria za kutaka kutumia ujuzi wake katika hisabati na fizikia zimetimia huko Ujerumani baada ya kupata kazi katika kampuni ambamo kwayo anatumia stadi zake.