Sajili
Kabrasha la Sauti
Ghasia dhidi ya raia na hali kama inayoendelea Gaza hivi sasa inaweza kuwa ni uhalifu dhidi ya ubinadamu chini ya mkataba wa Roma wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu au ICC, hasa kwa kutumia uwepo wa raia kama ngao kwa operesheni za kijeshi.