Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

ugaidi

Subrahmanyam Jaishankar, Waziri wa Mambo ya Nje wa India, akihutubia mjadala mkuu wa kikao cha 77 cha Baraza Kuu.
UN Photo/Cia Pak

Vita ya Ukraine na Urusi: India iko upande wa amani na itasalia huko

India imesema itaendelezeka ahadi zake za ushirikiano wa pande nyingi, wenye ushahidi uliothibitishwa,  uamuzi wa kusambaza chanjo kwa mataifa zaidi ya 100 duniani, kutoa misaada ya maafa kwa wale walio katika taabu, kushirikiana na nchi nyingine, kwa kuzingatia ukuaji wenye kujali mazingira, muungano bora wa kidijitali na upatikanaji wa huduma ya afya.

Rais wa Comorrow Azali Assoumani akihutubia mjadala wa Baraza Kuu
UN Photo/Cia Pak

Vita ya Ukraine imetuletea adha dunia nzima: Azali Assoumani

Rais wa kisiwa cha Comoro Azali Assoumani akihutubia mjadala wa wazi wa Baraza Kuu kikao cha 77 amesema jumuiya ya kimataifa hivi sasa inakabiliwa na changamoto lukuki, kuanzia athari za kiafya kama janga la COVID-19 ambalo linaingia mwaka wa tatu ssasa, mabadiliko ya tabianchi hadi vita ya Ukraine ambayo imeleta adha kwa dunia nzima.

09 SEPTEMBA 2022

Katika Jarida la habari la Umoja wa Mataifa leo Ijumaa Flora Nducha anakuletea

-Katika siku ya kimataifa ya kulinda shule dhidi ya mashambulizi mashirika ya Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF na la elimu sayansi na utamaduni UNESCO yanasema Afrika ya Kati na Magharibi ni nyumbani kwa karibu robo ya watoto wote duniani wasiokwenda shule  

Sauti
10'59"
Mamia ya maelfu ya watu wamefurushwa kaskazini-mashariki mwa Nigeria.
UNOCHA/Damilola Onafuwa

Lazima tutambue changamoto za Kaskazini mwa Nigeria ili tuweze kuleta matumaini:Guterres 

Changamoto kubwa zinazokabili jimbo la kaskazini mashariki mwa Nigeria la Borno, ambazo ni pamoja na ugaidi, zinahitaji kutambuliwa na jumuiya ya kimataifa ili kuunda kile ambacho Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekiita "hali ya matumaini na hali halisi," katika eneo ambalo amesema halikufikia kilele cha sifa yake ya ugaidi, vurugu, kufurusha watu makwao au kukata tamaa.