Sajili
Kabrasha la Sauti
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amehutubia mjadala mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa hii leo Jumanne jijini New York, Marekani akitaka mwelekeo wa kijasiri zaidi katika kutatua vitisho vikubwa vinavyokabili dunia hivi sasa.