Nchi maskini zashindwa kupatia wananchi fedha za kuchechemua uchumi wakati wa COVID-19 - Ripoti
Janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19, limerudisha nyuma maendeleo yaliyopatikana kwa mamilioni ya watu katika nchi maskin ina kuongeza pengo kubwa zaidi la ukosefu wa usawa, imesema ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa hii leo jijini New York, Marekani.