UN yatoa ombi la dola bilioni 1 kwa ajili ya mfuko wa dharura CERF
Umoja wa Mataifa umesema mfuko wa dharura wa Umoja huo CERF mwaka huu wa 2020 umetoa dola milioni 820 kwa ajili ya msaada wa kifedha kwa nchi 52 kote duniani.
Umoja wa Mataifa umesema mfuko wa dharura wa Umoja huo CERF mwaka huu wa 2020 umetoa dola milioni 820 kwa ajili ya msaada wa kifedha kwa nchi 52 kote duniani.