Skip to main content

Chuja:

Tuzo ya amani ya Nobel

Ales Bialiatski wa pili kushoto wakati wa hafla ya tuzo ya Wlodkowic kenye bunge la Poland mwaka 2014
© Michał Józefaciuk

Washindi wa tuzo ya amani ya Nobel 2022 watangazwa 

Kamati ya tuzo ya amani ya Nobel ya Norway leo imetangaza washini wa tuzo ya amani ya Nobel kwa mwaka 2022 kuwa ni "Mtetezi wa haki za binadamu Ales Bialiatski kutoka Belarus, shirika la haki za binadamu la Urusi Memorial na shirika la haki za binadamu la Ukraine Center for Civil Liberties ambao wanawakilisha jumuiya za kiraia katika nchi zao.” 

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa akizungumza na waandishi wa habari mjini New York Marekani
UN News

Hakuna jamii itakayokuwa huru na haki bila waandishi wa Habari:Guterres 

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amewapongeza waandishi wa Habari Maria Ressa na Demirty Muratov kwa kushinda tuzo ya amani ya Nobel mwaka huu akisema “Duniani kote uhuru wa vyombo vya habari ni muhimu kwa ajili ya amani, haki, maendeleo endelevu na haki za binadamu na ni ngumo muhimu kwa ajili ya ujenzi wa taasisi zenye haki na zisizo na upendeleo.” 

08 OKTOBA 2021

Katika jarida la mada kwa kina hii leo Assumpta Massoi anakuletea

-Waandishi wa habari Maria Ressa raia wa Ufilipino na Dimitry Muratov raia wa Urusi wameshinda tuzo ya amani ya Nobel mwaka huu 2021

-Mashirika ya Umoja wa Mataifa lile la mpango wa chakula duniani WFP, la elimu sayansi na utamaduni UNESCO na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres wamewapongeza na kuwamwagia sifa washindi hao kwa mchango wao katika kusongeza njia ya amani

Sauti
21'4"