Mlinda amani kutoka Burkina Faso ashinda Tuzo ya Afisa wa Polisi Mwanamke wa Umoja wa Mataifa mwaka 2022
Umoja wa Mataifa umemtangaza Afisa Mkuu Alizeta Kabore Kinda kutoka nchini Burkina Faso kuwa mshindi wa Tuzo ya Afisa wa Polisi Mwanamke wa Umoja wa Mataifa kwa mwaka 2022.