Chuja:

TAWFA

UN News

Wavuvi wanawake Kigoma wapata mtandao wao, shukrani kwa FAO

Katika kutekeleza lengo namba 8 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs kuhusu ajira za staha na ukuaji kiuchumi sambamba na namba 5 la usawa wa kijinsia, shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo duniani FAO nchini Tanzania,  limezindua tawi la tatu la Mtandao wa Wanawake Wanaojihusisha na Shughuli za Uvuvi TAWFA kupitia mradi wake wa kukuza mnyororo wa thamani wa mazao ya uvuvi katika ziwa Tanganyika. Devotha Songorwa wa Radio Washirika KIDS Time  FM ya Morogoro nchini Tanzania ameshuhudia uzinduzi na kuandaa taarifa hii.

Sauti
4'19"

29 JULAI 2022

Hii leo jaridani tunamulika pengo la huduma za ulinzi kwa wakimbizi na wasaka hifadhi wanapokuwa kwenye safari za kusaka maisha bora.  Ni ripoti ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi duniani, UNHCR. Kisha tunabisha hodi Tanzania hususan mkoani Kigoma ambako shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo, FAO, limezindua Mtandao wa Wanawake Wanaojihusisha na Shughuli za Uvuvi TAWFA kupitia mradi wake wa kukuza mnyororo wa thamani wa mazao ya uvuvi katika ziwa Tanganyika.

Sauti
13'54"
Mtandao wa Wanawake Wanaojihusisha na Shughuli za Uvuvi Tanzania
UN News

FAO Tanzania yazindua tawi la Mtandao wa Wanawake Wanaojihusisha na Shughuli za Uvuvi TAWFA

Katika kutekeleza lengo namba 8 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs kuhusu ajira za staha na ukuaji kiuchumi sambamba na namba 5 la usawa wa kijinsia, shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo duniani FAO nchini Tanzania,  limezindua tawi la tatu la Mtandao wa Wanawake Wanaojihusisha na Shughuli za Uvuvi TAWFA kupitia mradi wake wa kukuza mnyororo wa thamani wa mazao ya uvuvi katika ziwa Tanganyika.

Sauti
4'19"