Chuja:

Sophia Pierre-Antoine

World Bank/Yuri Mechitov

Vijana wahoji 'mbona mnatuengua?"

Jayathma Wickramanayake kutoka Sri Lanka amesema sasa vijana siyo tena kundi la ziada kwenye masuala ya amani na usalama, bali ni kundi muhimu zaidi katika kufanikisha ajenda hiyo.

Akiwa ni mjumbe maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja Mataifa, kijana huyo wa kike amesema hoja hiyo ni dhahiri shahiri kwa kuzingatia kuwa Baraza la Usalama ambamo ndio ametolea kauli hiyo, limeitisha kikao cha kujadili vijana na amani na usalama duniani, kwa kuzingatia ripoti ya maoni kutoka vijana zaidi ya 4000 kote duniani.

Sauti
2'28"