Marais wa EAC wana nia ya kutatua changamoto za DRC - Dkt. Mathuki
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt. Peter Mathuki amesema wanaendelea na mchakato wa kuhakikisha Amani inapatikana nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo DRC kwakuwa nchi huyo ni mwanachama kamili wa jumuiya hiyo hivyo anastahili kusaidiwa kwenye masuala ya usalama.