Skip to main content

Chuja:

SMEs

01 AGOSTI 2023

Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina ambapo mradi wa serikali ya DRC na UN Women wajengea uwezo wajasiriamali Goma. Pia tunakuletea habari kwa ufupi kutoka IFAD, FAO, WHO na UNICEF ikiwa ni pamoja na Tamko la Haki za binadamu. Mashinani tunakupeleka nchini Sudan, kulikoni? 

Sauti
12'17"
UN News/Matt Wells

Mitaji mikubwa kwenye biashara ndogo na za kati kufanikisha SDGs- ITC

Kuelekea siku ya biashara ndogo na za kati, SMEs hapo kesho, Umoja wa Mataifa umetaka uwekezaji zaidi kwenye biashara hizo kwa kuwa ndio msingi wa kufanikisha maleng ya maendeleo endelevu, SDGs. Flora Nducha na maelezo zaidi.

Kituo cha biashara cha kimataifa, ITC ambayo ni ofisi tanzu ya kamati  ya biashara na maendeleo ya Umoja wa Mataifa, UNCTAD, imesema hayo kupitia ripoti yake mpya iliyotolewa wiki hii ikisema kuwa msisitizo ni biashara ndogo na za kati kwa kuzingatia mambo makuu manne.

Sauti
2'7"