Vifijo na nderemo vyashamiri Bentiu wakati wa ziara ya mkuu wa UNICEF
Kufuatia uteuzi wake kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF, Henrietta Fore amefanya ziara huko Sudan Kusini.
Kufuatia uteuzi wake kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF, Henrietta Fore amefanya ziara huko Sudan Kusini.
Hali ya sasa ya kiusalama nchini Sudan Kusini si shwari kwa wafanyakazi wanaotoa misaada.
Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF, Henrietta H. Fore amesema hayo leo akieleza kuwa shirika lake pamoja na mengine ya misaada nchini Sudan Kusini yanafanya kazi katika mazingira hatari wakati wakitoa misaada muhimu inayohitajika kwa watoto pamoja na vijana.