Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Siku ya watu wenye ualbino

UN News/Grece Kaneiya

Tunasherehekea watu wenye ualbino leo kwa sababu tumeona ujasiri wenu na bidii-Muluka Anne

Ikiwa leo dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya kuelimisha jamii kuhusu watu wenye ualbino, Umoja wa Mataifa umetoa  rai kwa nchi zote duniani kuwajumuisha watu wenye ualbino katika mijadala na mipango inayoathiri haki zao za kibinadamu, ili kuhakikisha wanafurahia usawa na ulinzi unaotolewa kwao katika sheria na viwango vya kimataifa.

Sauti
2'24"

13 Juni 2022

Jaridani Jumatatu, Juni 13-2022 na Leah Mushi

-Ikiwa leo dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya kuelimisha jamii kuhusu watu wenye ualbino, Umoja wa Mataifa umetoa rai kwa nchi zote duniani kuwajumuisha watu wenye ualbino katika mijadala na mipango inayoathiri haki zao za kibinadamu, ili kuhakikisha wanafurahia usawa na ulinzi unaotolewa kwao katika sheria na viwango vya kimataifa.

Sauti
12'24"
Lucas na kaka yake wote wana  ualbino ambao unasababisha ngozi yao kupata matatizo na uoni wao ni hafifu.
UNICEF

Tuwajumuishe watu wenye ualbino kwenye mijadala:UN 

Ikiwa leo dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya kuelimisha jamii kuhusu watu wenye ualbino, Umoja wa Mataifa umetoa  rai kwa nchi zote duniani kuwajumuisha watu wenye ualbino katika mijadala na mipango inayoathiri haki zao za kibinadamu, ili kuhakikisha wanafurahia usawa na ulinzi unaotolewa kwao katika sheria na viwango vya kimataifa.

Sauti
2'24"
UN Tanzania

Watu wenye ualbino nchini Tanzania waomba Tkuongezewa muda wa kurejesha mikopo kutokana na athari za COVID-19

Kuelekea siku ya kimataifa ya kuelimisha jamii kuhusu watu wenye ualbino kesho tarehe 13 mwezi Juni, baadhi ya watanzania wenye ualbino wamepaza sauti ya kile wanachoomba kifanyike kuwanusuru wakati huu wa janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19.

Wamepaza sauti hizo huko Dodoma, mji mkuu wa Tanzania wakati wakihojiwa na Devotha Songorwa wa Radio washirika Kids Time FM ambapo miongoni mwao in Maiko Salali ambaye kilio chake yeye ni urejeshaji wa mikopo halmashauri.

Sauti
5'35"